Wednesday, June 20, 2012

MMESIKIA JAMANI..

 Dk Didas akitoa maelezo kwa wajasiriamali waliojitokeza kumsikiliza
 Afisa masoko wa kampuni ya Mjasiriamali Kwanza  ndugu Isaya (kushoto) akitoa moja  ya malighafi za kutengenezea sabuni kwa mjasiriamali Veronicka wa Kimara Dar es Salaam.
Wajasiriamali wakijadiri jambo baada ya kupata mafunzo kutoka kwa  Dk Didas Lunyungu.

0 COMMENTS:

Post a Comment