Wednesday, June 20, 2012

MAFUNZO KWA VITENDO

 Dk  Didas akitoa maelezo kwa vitendo jinsi ya  kutengeneza  sabuni ya maji  kwa  kuchanganya aina  mbalimbali za malighafi wakati wa semina hiyo  ndani ya ukumbi wa Afri Center Ilala. Dar es Salaam.
                         Hapa Dk Didas akichanganya  malighafi kwenye ndoo ndogo ya plastiki
Hapa akitoa maelezo mafupi baada ya kukamilika kwa zoezi hilo  na hatimaye sabuni ya maji kupatikana

0 COMMENTS:

Post a Comment