Dk Didas akitoa maelezo kwa vitendo jinsi ya kutengeneza sabuni ya maji kwa kuchanganya aina mbalimbali za malighafi wakati wa semina hiyo ndani ya ukumbi wa Afri Center Ilala. Dar es Salaam.
Hapa Dk Didas akichanganya malighafi kwenye ndoo ndogo ya plastiki
Hapa akitoa maelezo mafupi baada ya kukamilika kwa zoezi hilo na hatimaye sabuni ya maji kupatikana
Hapa Dk Didas akichanganya malighafi kwenye ndoo ndogo ya plastiki
Hapa akitoa maelezo mafupi baada ya kukamilika kwa zoezi hilo na hatimaye sabuni ya maji kupatikana
0 COMMENTS:
Post a Comment