Wednesday, November 28, 2012

SEMINA KUBWA YA UJASIRIAMALI YATIKISA DAR

 Wajasiriamali kutoka kikundi mojawapo kati ya vingi vilivyokuwepo kwenye semina kubwa ya iliyofanyika ndani ya ukumbi wa Afri Center na kuhudhuriwa na watu zaidi ya 1200 wengi wakiwa kutoka nje ya jiji la Dar .
 Hapa Wajasiriamali wakijifunza kwa vitendo kutengeneza dawa ya usafi
 Masomo yanaendelea
 Hapa wajasiriamali wakijipogeza baada ya kufanikiwa kutengeneza moja ya bidhaa na mwalimu Saravai mwenye koti kuwafahamisha kuwa wamefaulu zoezi lao
 Kazi na dawa Dj Mdoe akiwa kwenye mashine kutoa burudani kwa wajasiriamali tayari kwa masomo mengine  ndani ya ukumbi wa AfriCenter Ilala jijini Dar.




0 COMMENTS:

Post a Comment